VIJANA WA SKAUTI WILAYA YA KINONDONI WAFANIKISHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU.
SUNRAY SCOUT OF TANZANIA
vijana wa skauti wa wilaya ya kinondoni katika mkoa wa dar es salaam - Tanzania wakiwa kwenye gwaride wakipewa matangazo,ni ilikuwa bunju ambako ulilala mwenge wa uhuru wa tanzania,vijana hao walishiriki kikamilifu katika kufanikisha kukimbiza mwenge wa uhuru katika wilaya yao ya Kinondoni.