tanga city scouts

tanga city scouts

katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa mwanzilishi wa skaut duniani vijana wa skauti jiji la Tanga inchin Tanzania wameandaa yafuatayo -kufanya shuli za kijamii kama .kutembelea vituo vya watoto yatima .kufanya usafi katika maenoe ya kijamii kama hosptal,sokoni na barabarani Lengo kubwa hasa ni kuhamisisha jamii juu ya uskauti kila jumamosi ya mwezi wa pili tunafanya hivyo kwa vituo tofauti tofauti ndani ya jiji la tanga hadi kufikia kilele siku ya tarehe 22/02/ a,bapo siku hiyo kutakuwa na uzinduzi wa kundi jipya la skauti la watu wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi ya watu wenye ulemavu Pongwe
Started Ended
Number of participants
330
Service hours
2
Location
United Republic of Tanzania

Share via

Share